Mabingwa wenye bidhaa za kielectronic ‘Haier’ leo wametangaza habari hii njema mbele ya Waandishi wa Habari
Ukienda Marekani utaambiwa HAIER iliingia rasmi tangu mwaka 1999, Indonesia utaambiwa HAIER…
Naibu Waziri Mkuu awazuia Tanesco kwenye Mkutano, atoa maagizo, Wasije hapa mpaka Umeme uwake
Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Nishati Dkt. Dotto Biteko…
Nyasi za Juncao kutatua migogoro ya wakulima na wafugaji, ‘italeta ajira’
Waziri wa Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo Zanzibar, Shamata Khamis amesema Teknolojia…
Picha: Rais Samia alivyopokelewa Mkoani Pwani
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza…
Waziri Mkuu asema, ‘Umeme ukiwa mwingi ziada tutauza nje’
Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa leo September 20, 2023 amefungua Kongamano…
Serikali ya Zanzibar yaiunga mkono Airpay kuboresha malipo kwa njia ya kidigital
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imeiunga mkono Kampuni ya Airpay Tanzania katika…
GGML yatoa milioni 150 kudhamini Maonesho ya 6 ya Madini na Teknolojia ya Geita
KATIKA kuendelea kudumisha dhamira ya ubunifu wa kiteknolojia, Kampuni ya Geita Gold…
Video iliyotrend mtoto amefungwa kamba na kuning’inizwa, Polisi watoa kauli ‘Ukatili’
Jeshi la Polisi limesema limeona video fupi (clip) ikimwonesha Mtoto aliyefanyiwa vitendo…
Maandalizi ya Young Africans kuelekea mchezo dhidi ya Namungo FC, kesho ‘Uwanja wa Azam Complex’
Ni Klabu ya Young Africans ambayo inatarajiwa kukutana na Namungo FC katika…
Bandari ya Lindi kuleta Ajira Elfu 30
Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan leo ameweka jiwe la msingi…