Neymar aelezea uamuzi wake kwenda Al Hilal
Neymar anasema hamu yake ya kuwa "mchezaji wa kimataifa" ilishawishi uamuzi wake…
Chelsea wanakaribia kukamilisha usajili wa Deivid Washington kutoka Santos.
Ada ya €16m pamoja na €4m ya nyongeza imekubaliwa kati ya vilabu…
Nottingham Forest wanataka kumsajili Nuno Tavares kutoka Arsenal
Nottingham Forest wanatazamia kufanya usajili wa pili msimu huu kutoka Arsenal, huku…
Galatasaray wamekubali mkataba na Chelsea kumnunua mshambuliaji Hakim Ziyech.
Chelsea wameripotiwa kufikia makubaliano ya mdomo na Galatasaray kuhusu uhamisho wa winga…
Ulinzi wa anga waiangusha ndege isiyo na rubani ya Ukraine: Urusi
Urusi imesema ulinzi wake wa angani umeidungua ndege isiyo na rubani ya…
Sababu za Moises Caicedo kuipa kisogo Liverpool zatajwa
Mkurugenzi Mtendaji wa Brighton, Paul Barber ameeleza sababu za Moises Caicedo kuipa…
‘Nilitania kuhusu kupigana na Zuck ‘-Elon Musk
Mkurugenzi Mtendaji wa Tesla, Elon Musk alishuhudiwa kufanya mzaha kuhusu pambano lililotarajiwa…
Akamatwa kwa madai ya kuuza dawa bandia ya COVID-19
Baada ya msako wa miaka mitatu, mwanamume mmoja wa Utah amekamatwa kwa…
Mahakama yampata mama na hatia ya kuwaua binti zake 3 wachanga New Zealand
Mahakama ya New Zealand siku ya Jumatano ilimpata mama na hatia ya…
Manchester City imekubali ombi kutoka kwa Al-Nassr kumnunua Aymeric Laporte.
Beki huyo hivi sasa anafikiria kuhamia miamba hiyo ya Saudi Arabia, na…