Australia imemtoza faini mmiliki wa Facebook Meta, kwa kukusanya data ambayo haijawekwa wazi
Mahakama nchini Australia imeamuru mmiliki wa Facebook Meta Platforms kulipa faini ya…
Tetesi:West Ham wanafikiria kumnunua McTominay kwa pauni milioni 45
Klabu ya West Ham United inaripotiwa kufikiria kumnunua nyota wa Manchester United…
16 wameuawa katika mashambulizi mapya ya anga na ardhini Khartoum, mji mkuu wa Sudan.
Makundi ya kiraia katika eneo hilo yamesema, raia 16 wameuawa katika wimbi…
PSG lazima wamuuze Kylian Mbappe ifikapo Agosti 1 au wamlipe €60m
Paris Saint-Germain watamlipa Kylian Mbappe bonasi ya uaminifu ikiwa bado yuko katika…
Boti za Ukraine zilishambulia kulipiza kisasi kwa wale waliojisalimisha-Igor Konashenkov
Takriban boti 16 za wanamaji wa Ukraine zilijaribu kushambulia meli za Black…
Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa la laani aina zote za kuvunjiwa heshima vitabu vitakatifu
Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limepitisha azimio la kuendeleza mazungumzo ya…
Rais William Ruto asema yuko tayari kukutana na Raila Odinga
Rais William Ruto amejitolea kukutana na kiongozi wa Azimio Raila Odinga kwa…
Kenya:Dawa za kulevya zenye thamani ya Sh. Milioni 25 zateketezwa
Dawa za kulevya zenye thamani ya Sh. Milioni 25 zimeharibiwa katika kituo…
Bunge la nchini Ghana laidhinisha kufutwa kwa adhabu ya kifo
Bunge la Ghana limepiga kura ya kufuta adhabu ya kifo, na hivyo…
Mradi mkubwa wa maji Chamkorongo Katoro kukamilika september mwaka 2023.
Mradi Mkubwa wa Maji wa Chamkorongo wenye Makadilio ya Thamani ya Shilingi…