Pentagon yatangaza msaada wa kijeshi wa dola milioni 500 kwa Ukraine.
Pentagon imesema itatuma silaha zaidi kwa Ukraine kutoka kwenye hifadhi zake, ikiwa…
Baada ya hotuba ya Putin kuhusu kukabiliana na mamluki, Urusi na wasiwasi wa mgawanyiko
Wakati Rais wa Urusi Vladimir Putin akisifia "umoja na uzalendo" wa taifa…
Manchester City wathibitisha kumsajili kiungo wa Chelsea Mateo Kovacic
Kovacic, 29, ametia saini mkataba wa miaka minne na mabingwa hao wa…
Admin wa Group la Whatsapp apewa amri ya kumrudisha mwanachama baada ya kumshtaki kumtoa kwa fitna
Mahakama Nchini Uganda imemuamuru 'Admin' wa Group la Whatsapp liitwalo 'Buyania my…
Wagonjwa wapya watatu wa malaria wagundulika Nchini Marekani
Kwa mara ya kwanza baada ya miaka 20 Wagonjwa wapya watatu wa…
Putin atoa pongezi kwa vikosi vya usalama vilivyopambana na Wagner
Rais wa Urusi Vladimir Putin anazungumza na vitengo vya kutekeleza sheria vilivyoshiriki…
Sheria inaruhusu adhabu ya kifo kutokana na waandamanaji 5 wanaotuhumiwa kuzuia gari la malkia
Mahakama ya Thailand itatoa uamuzi siku ya Jumatano katika kesi ya watu…
Gabon: uchaguzi utafanyika Agosti 26
Gabon itafanya uchaguzi wa rais, wabunge na mitaa mnamo Agosti 26, serikali…
Mtoto miezi 16 afariki baada ya mama kumwacha peke yake kwa zaidi ya wiki moja kwenda vacation
#GUMZO-Mama mmoja huko Ohio ameshtakiwa kwa mauaji baada ya kumwacha mtoto wake…
Dau la Manchester City la pauni milioni 90 kumnunua kiungo wa kati Declan Rice lakataliwa
Mabingwa wa Premier League walikuwa wametoa ofa ya £80m mbele pamoja na…