Regina Baltazari

11976 Articles

Azimio yadai kurudisha maandamano Mei 2.

Maandamano dhidi ya serikali yataanza tena Jumanne, Mei 2, 2023, kulingana na…

Regina Baltazari

Urusi : Atozwa faini zaidi ya Mil.1 kwa kumwita Rais wa Ukraine  ‘mzuri’.

Mwanamke mmoja wa Urusi ametozwa faini ya dola 500 sawa na Tsh…

Regina Baltazari

Polisi wa Morocco yakamata tani 5.4 za bangi zinasafirishwa kwenye lori.

Maafisa wa usalama na forodha walikamata bangi hiyo katika bandari ya kaskazini…

Regina Baltazari

Rais wa Mexico aambukizwa Covid kwa mara ya 3.

Rais wa Mexico Andres Manuel Lopez Obrador Jumapili amesema kwamba ameambukizwa virusi…

Regina Baltazari

Australia kununua makombora zaidi kukabiliana na China.

Australia itaharakisha juhudi za kununua makombora ya masafa marefu ili kukabiliana na…

Regina Baltazari

Miili 47 yapatikana imezikwa kwenye shamba la kanisa Kenya.

Maafisa wa usalama Kenya wamefukua miili 47 hadi kufikia Jumapili kwenye shamba…

Regina Baltazari

Uchafuzi wa hewa husababisha vifo zaidi ya watu 1,200 chini ya miaka 18 .

Uchafuzi wa hewa husababisha vifo vya mapema vya zaidi ya watu 1,200…

Regina Baltazari

Miili ya waliojiua kwa njaa kukutana na Yesu yafikia 14.

Miili 14 zaidi imefukuliwa katika makaburi ya watu wanaoaminika kufariki kwa kufunga kutokana na mafundisho…

Regina Baltazari

Shambulio la kujitoa mhanga laua na kujeruhi zaidi ya watu 70 Mali.

Watu wasiopungua 10 wameuawa na makumi ya wengine wamejeruhiwa katika shambulio la…

Regina Baltazari

UNICEF: Mapambano nchini Sudan yawaweka hatarini mamilioni ya watoto

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa (UNICEF)…

Regina Baltazari