CHAD:Wanajeshi wa Chad wawaachilia waasi 380 waliosamehewa kifungo cha maisha.
Serikali ya Chad imesema iliwaachilia huru waasi 380 Jana Jumatano baada ya…
KENYA:Acheni kuwalisha punda bangi ili kufanya kazi kwa bidii.
Mwenyekiti wa Kikundi cha Ustawi wa Punda cha Moyale Hussein Osman amewaonya…
Muuguzi afariki akijaribu kufanya upasuaji kupunguza tumbo lake.
Moja ya habari iliyokamata headlines wiki hii ni ripoti iliyoandikwa kupitia jarida…
TIKTOK YAPIGWA FAINI YA $15.9 MIL KWAKUTUMIA TAARIFA ZA WATOTO VIBAYA.
Mdhibiti wa taarifa na data muhimu nchini Uingereza ameitoza kampuni ya TikTok…
Finland rasmi mwanachama wa muungano wa ulinzi wa NATO.
Ufini imetajwa rasmi kuwa mwanachama wa 31 wa NATO, kuashiria mabadiliko makubwa…
Donald Trump kufikishwa mahakamani jijini New York .
Aliyekuwa rais wa Marekani Donald Trump, anatarajiwa kufika Mahakamani jijini New York…
Tunisia: Rais Saied akanusha taarifa kuwa hali yake ya kiafya imedhoofika.
Rais wa Tunisia, Kais Saied amejitokeza na kukanusha madai kuwa hali yake…
Kinyozi mahakamani kwa kujifanya polisi,kuingia kwenye tamasha kumuona Megan Thee.
Mwanaume mmoja huko Houston Texas ameshtakiwa kwa kujifanya afisa wa polisi ili…
Mwanamke Ajifungua Chooni Baada ya Kukosea Maumivu ya Leba Kwa Kuvimbiwa.
Marla McEntire bila kujua alimbeba mtoto wake hadi wiki ya 40, ingawa…
NASA yatangaza majina ya wanaanga wa Artemis 2 ambao watasafiri kwenda Mwezini.
Shirika la anga za juu la Marekani linakusudia kutia saini kwa muda…