Takriban watu 10,000 wahudhuria sherehe za 60 za Madaraka Kenya
Hii ni mara nyingine kwa rais Ruto kuongoza nchi kuadhimisha Sikukuu ya…
Kim Kardashian alalamikia maneno ya Kanye West dhidi ya familia yake
Mazungumzo ya kihisia ya Kim Kardashian kuhusu Kanye West yalihitimishwa siku ya…
Juni 1 siku ya Kimataifa ya Watoto:Watoto 484 waliuawa nchini Ukraine na 992 kujeruhiwa tangu vita kuanza
Takriban watoto 484 wameuawa na 992 kujeruhiwa tangu kuanza kwa uvamizi kamili…
Sheria dhidi ya ushoga nchini Uganda: “hakuna mtu atakayetufanya tubadilishe mawazo”
Museveni katika mkutano wa wanachama wa chama tawala, alinukuliwa katika taarifa kwa…
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewaomba Watanzania kuiombea Timu ya Yanga ushindi dhidi yaUSM Alger
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewaomba Watanzania kuiombea Timu ya Yanga ili iweze…
washtakiwa kwa kuiba ,kula ndege aina ya Swan wanaomilikiwa na mji wakidhani ni bata
Vijana watatu wa jimbo la New York walimuua swan ambaye hufanana sana…
Zimbabwe kufanya uchaguzi mkuu Agosti 23
Zimbabwe itafanya uchaguzi wake wa urais na bunge tarehe 23 Agosti, Rais…
Waziri wa mambo ya nje wa Ujerumani ‘NATO haiwezi kukubali wanachama wapya wakiwa vitani’
NATO haiwezi kukubali wanachama wapya ambao kwa sasa wako vitani, waziri wa…
Real Madrid ndio klabu yenye thamani kubwa zaidi duniani kwa mujibu wa Forbes
Kwa mwaka wa pili mfululizo, Real Madrid ndiyo klabu yenye thamani kubwa…
NATO inajadili ‘dhamana ya usalama’ kwa Ukraine
Uvamizi wa Urusi nchini Ukraine mwezi Februari mwaka jana umeupa nguvu muungano…