Ripoti:Zaidi ya watu milioni 71 walikimbia makazi yao ulimwenguni kote2022
Kuingiliana kwa mizozo nchini Ukraine na nchi za Kiafrika na majanga yanayosababishwa…
UN kufanya kikao cha dharura kuhusu Sudan
Baraza la Haki za Kibinadamu la Umoja wa Mataifa leo litafanya kikao…
Namibia yapiga marufuku tattoo kwa maafisa wa magereza
Mamlaka ya magereza nchini Namibia imepiga marufuku kuajiri watu wenye tattoo zinazoonekana…
Waumini waliotekwa nyara waachiwa huru Nigeria
Waumini 11 kati ya 25 waliotekwa nyara siku ya Jumapili baada ya…
wafuasi 1,400 wa kundi la wanajihadi la Boko Haram wanaswa
Takriban wafuasi 1,400 wa kundi la wanajihadi la Boko Haram nchini Nigeria…
Iran yawanyonga 7 kwa ubakaji, mashtaka ya dawa za kulevya
Siku ya Jumatano hatimaye Iran iliwanyonga wanaume saba katika magereza mawili nje…
Toboa zaidi katika kipaji chako ukitumia TECNO Spark 10
Ukiwa na TECNO Spark 10 yenye 32MP Glowing Selfie Camera unaweza kufanya…
‘homa ya ini inaweza kuua watu wengi zaidi ifikapo 2040’ Mashirika ya afya
Mashirika ya afya yanaonya kwamba homa ya ini inaweza kuua watu wengi…
Afikishwa mahakamani mjini Paris akituhumiwa kushiriki katika mauaji ya halaiki Rwanda.
Afisa wa zamani wa polisi wa jeshi la Rwanda ambaye alikimbilia Ufaransa…
Kuzaliwa kabla ya wakati, chanzo kikuu cha vifo vya watoto chini ya miaka mitano ulimwenguni
Ripoti iliyochapishwa Mei 10 na Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya…