Mwinjilisti Ezekiel Odero amewataka wenye ushahidi dhidi yake kuripoti kwa polisi
Mawakili wa mwinjilisti Ezekiel Odero sasa wanataka yeyote aliye na ushahidi dhidi…
Watu 22 wamefariki baada ya boti la wataliI kuzama kusini mwa India
Karibia watu 22 wamethibitishwa kufariki baada ya boti la watali kuzama katika…
Uchunguzi wa maiti katika mauaji Kenya hauonyeshi kuwepo uvunaji wa viungo
Uchunguzi wa kidaktari uliofanyiwa miili 112 ya wahanga wa mauaji tata ya…
Iran yawanyonga watu 2 kwa tuhuma za kukufuru
Iran imewanyonga wanaume wawili baada ya kuwahukumu na kuwapata na hatia ya…
NFRA imesambaza tani 75,282 za chakula katika Halmashauri 89 zenye upungufu wa chakula
Waziri wa Kilimo Hussein Bashe leo ametoa hotuba kuhusu Makadirio ya Mapato…
NEMC yafungia baa zaidi ya 80 kudhibiti kelele
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limezifungia Bar…
Rais Felix Tshisekedi ametangaza tarehe 8 Mei kuwa siku ya maombolezo ya kitaifa.
Rais Felix Tshisekedi Jumatatu alitangaza siku ya maombolezo ya kitaifa na timu…
Moto uliozuka katika mgodi wa dhahabu kusini mwa Peru waua wafanyikazi 27
Watu 27 wamefariki katika ajali ya mgodi wa dhahabu nchini Peru, katika…
Uganda yanasa vilipuzi, vazi la kujitoa mhanga kutoka kwa washukiwa wa kundi la al Shabaab
Polisi katika mji mkuu wa Uganda Kampala walinasa kiasi kikubwa cha vilipuzi…
EU: Vikwazo dhidi ya makampuni saba ya China kwa madai ya kuunga mkono jeshi la Urusi
Umoja wa Ulaya umependekeza vikwazo dhidi ya kampuni za China zinazotuhumiwa kuuza…