Sinki maalum ya kuoshea simu Japan.
UNAAMBIWA :Baadhi ya vituo vya mgahawa maarufu zaidi duniani McDonald's nchini Japan…
Rais wa Zimbabwe aahidi uchaguzi wa urais kuwa ‘huru na haki’.
Rais Emmerson Mnangagwa katika hotuba yake siku ya Jumanne, alionya dhidi ya…
UN:Mapigano yanayozidi kuwa mabaya nchini Sudan yanazuia shughuli za kibinadamu.
Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu (OCHA) imesema…
FOX News kulipa fidia ya dola milioni 787 kwa kampuni ya Dominion,madai ya kuharibiwa jina.
Shirika la Fox linalomiliki chombo cha habari ya Fox News hapa Marekani…
UN: Zaidi ya watu milioni 48 barani Afrika wapo kwenye hatari kukumbwa na njaa.
Umoja wa Mataifa Jumanne umeonya kuwa baa la njaa linaendelea kuenea Afrika…
Kero ya dampo la pugu yawalaza siku 2 madereva, mkuu wa wilaya aingilia kati na kutoa maamuzi.
Dampo la pugu kinyamwezi Jijini dar es salaam limegeuka kuwa kero kwa…
DC morogoro akerwa kushuka taaluma kwa wanafunzi.
Mkuu wa wilaya ya Morogoro Rebecca Nsemwa amekerwa na kushuka kwa ufaulu…
Wanandoa wafanya ibada ya dhabibu kwa kujitoa sadaka .
Polisi wa India waliwataja wanandoa hao kuwa ni Hemubhai Makwana mwenye umri…
Kenya kuondoa raia wake 3,000 nchini Sudan licha ya kufungwa kwa anga la nchi hiyo..
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje wa Masuala ya Diaspora,…
Exclusive:Mrembo Yuster ambaye ni mlemavu wa kusikia aongoza hisabati udsm.
Mfahamu Yuster Sanga ambaye ana ulemavu wa kusikia aliyeibuka mshindi kwa kuongoza somo…