2 washtakiwa kwa kukata nyaya na kupoteza huduma ya mtandao kwa watu 40,000.
Polisi wa Connecticut wamewashtaki watu wawili kwa kukata zaidi ya nyaya 2,000…
Mmiliki wa mgahawa awakataza wateja kutumia simu kuperuzi wakati wa kula.
Mmiliki mmoja wa duka la noodles anachukulia desturi hii kwa uzito sana…
Rais Paul Kagame achaguliwa tena kama mkuu wa chama cha RPF.
Rais Paul Kagame alichaguliwa tena kwa muhula wa miaka mitano kama kiongozi…
Waandamana kushinikiza kufungwa kwa kampuni za silaha.
Baadhi ya waandamanaji wamekusanyika nje ya kiwanda cha kuzalisha silaha cha Israel…
Burkina Faso :Waandishi wa magazeti ya Ufaransa wafukuzwa.
Msemaji wa Serikali ya Burkina Faso amesema wanahabari hao wamefukuzwa nchini humo kwa…
PEW:Nusu ya Wamarekani wanaunga mkono marufuku ya serikali, katazo la matumizi ya mtandao wa Tik Tok.
Nusu ya Wamarekani wanaunga mkono marufuku ya serikali ya nchi hiyo juu…
13 wauawa kwa kupigwa risasi wakati wakisubiri msaada wa chakula ,huko Karachi nchini Pakistan.
Takriban watu 13 waliuawa na wengine 10 kujeruhiwa Ijumaa katika mvutano wa…
Tunis:Mamlaka ya maji imetangaza vikwazo usambazaji na matumizi ya maji ya kunywa katika nchi juu ya ongezeko la ukame.
Tunisia inapitia mwaka wake wa tano mfululizo wa ukame ambao unakumba maeneo…
WHO: Zaidi ya watu milioni 1 wameathirika na majanga kikiwemo kipindupindu Msumbiji.
Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa, zaidi ya watu milioni moja…
WFP yapunguza mgao wa chakula kwa wakimbizi wa Kongo walioko Burundi “Ukosefu wa Fedha”.
Zaidi ya wakimbizi 56,000 wa Kongo hivi karibuni watapata nusu tu ya…