Microsoft & Google zaishutumu sheria iliyopitishwa dhidi ya wapenzi wa jinsia moja Uganda.
Muungano wa makampuni ya kimataifa, yakiwemo Google na Microsoft, Jumatano yameushutumu mswaada…
VATICAN:Papa Francis alazwa hospitalini kwa siku kadhaa kutokana na maambukizi ya mapafu.
Kiongozi wa Kanisa katoliki Papa Francis alilazwa hospitali Jumatano kutokana na maambukizi…
UNECA yazindua mradi wa mchakato wa kisasa wa takwimu za uzalishaji barani Afrika.
Kamati ya Uchumi wa Afrika ya Umoja wa Mataifa (UNECA) imezindua mradi…
UNICEF yaonya kuhusu mlipuko wa kipindupindu unaoenea kwa kasi barani Afrika.
Katika taarifa, UNICEF imetoa wito wa ufadhili zaidi kusaidia sio tu kulinda…
UN: Ziara 65 za tathmini, Kamati ya Kupambana na Ugaidi,kuhakikisha utiifu wa mahitaji ya Baraza la Usalama kufanyika hivi karibuni.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres amerejea tena ahadi ya…
Ripoti:Burkina Faso yashika nafasi ya pili,kuathiriwa na ugaidi duniani,Somali namba 3.
Ripoti inaeleza kuwa, vifo vingi vilivyosababishwa na matukio ya ugaidi vilisajiliwa mwaka…
Senegal:Upinzani washinikiza maandamano licha ya marufuku ya polisi.
Licha ya marufuku ya maandamanao nchini Senegal, muungano wa Upinzani nchini humo,…
VATICAN: Kanisa Katoliki kutuma ujumbe wa matumaini kwa Papa Francis kwenda mwezini.
Makao makuu ya kanisa katoliki kule Vatican, Italai wametangaza mpango wa kutuma…
Tennessee:Wito umetolewa juu ya udhibiti matumizi ya silaha na ufyatulianaji risasi,”kinachohitajika ni sheria”.
Ikulu ya White house imetoa wito juu ya kuongeza udhibiti wa bunduki…
“Watu wenye ulemavu wanapotea na kutengwa wakati majanga yanapotokea” mtetezi wa Umoja wa Mataifa.
Afisa wa Umoja wa Mataifa amesema watu wengi wenye ulemavu wako hatarini…