Chad: Baada ya waasi, kiongozi wa utawala wa kijeshi nchini Chad awasamehe waandamanaji 259.
Mkuu wa utawala wa jeshi nchini Chad, Jenerali Mahamat Idriss Déby Itno…
Kenya:Mmoja auawa kwa kupigwa risasi kwenye vurugu za maandamano kisumu.
Mtu huyo aliuawa kwa kupigwa risasi mjini Kisumu wakati maandamano ya kuipinga…
Burkina Faso :Vyombo vya habari vya Ufaransa vyafungiwa, baada ya kufanya mahojiano na Al-Qaeda.
Kikosi tawala cha Burkina Faso kimesitisha matangazo yote ya vyombo vya habari…
INTISAF :Wastani, mtoto mmoja wa Yemen anafariki dunia kila baada ya dakika 10 katika vita,”sababu zinaweza kuzuilika”.
Mwaka wa 8 wa vita dhidi ya Yemen umemalizika huku takwimu zikionyesha…
Makamu wa Rais wa Marekani aahidi uwekezaji mkubwa barani Afrika alipotua nchini Ghana.
Makamu wa Rais wa Marekani jana aliwasili nchini Ghana kuianza ziara taje…
Kenya: Maandamano ya upinzani kuendelea licha ya onyo la polisi wiki iliyopita.
Nchini Kenya, muungano wa upinzani wa Azimio la Umoja, umeitisha tena maandamano…
Rais wa Chad atoa msamaha kwa waasi 380,waliofanya mauaji ya baba yake “2021”.
Rais wa mpito wa Chad, Mahamat Idriss Deby ametangaza msahama kwa mamia…
MAREKANI:Makamu wa rais Kamala Harris kukutana na viongozi wa Ghana, Tanzania na Zambia.
Makamu wa kwanza wa rais wa Marekani siku ya jumamosi ataanza safari…
China yapinga uuzwaji wa sehemu ya programu yake “TikTok” kwa kulazimishwa na kutishiwa kufungiwa.
Hong Kong- Uchina ilisema itapinga kwa uthabiti na moja kwa moja uuzaji…
20 wafariki kutokana na virusi vya Marburg nchini E.Guinea.
Mlipuko wa virusi vya Marburg nchini Equatorial Guinea umesababisha vifo vya watu…