WHO yaishinisha chanjo mpya ya Mpox
Shirika la Afya Ulimwenguni –WHO lilisema Jumatatu kuwa limeidhinisha chanjo mpya ya…
Watoto 400,000 wakoseshwa makazi Lebanon sababu ya vita
Afisa mmoja wa ngazi wa juu kutoka shirika la Umoja wa Mataifa…
Waandamanaji 200 wanaopinga vita vya Israel dhidi ya Gaza wakamatwa
Polisi wamewakamata zaidi ya waandamanaji 200 waliokuwa wakipinga vita vya Israel dhidi…
Mahakama kuamua kung’oka kwa Gachagua
Mahakama nchini Kenya inatarajiwa hii leo kutoa uamuzi wake katika kesi inayolenga…
FA yamkashifu Guardiola kuhusu kuwa meneja ajaye wa England
FA imemkashifu Pep Guardiola kuhusu kuwa meneja ajaye wa England. Guardiola mkataba…
Mkataba wa Sir Alex Ferguson Man United mbioni kumalizika
Sir Alex Ferguson anatazamiwa kujiuzulu nafasi yake ya ubalozi katika klabu ya…
Bashungwa aongoza uhamasishaji wananchi kujiandikisha daftari la wapiga kura
Waziri wa Ujenzi na Mbunge wa Jimbo la Karagwe, Innocent Bashungwa ameongoza…
Loïc Badé anaweza kuwa mbadala wa Virgil van Dijk
Liverpool wanamfikiria beki wa kati wa Sevilla Loïc Badé kama mbadala wa…
Barca inalenga kandarasi tatu mpya
Inasemekana kuwa klabu ya Barcelona tayari wametanguliza "uboreshaji wa mkataba wa kimkakati"…
Barcelona kufanya lolote kumnasa Haaland
Barcelona wako tayari kufanya "kila kitu" kumsajili mshambuliaji wa Manchester City Erling…