Fernandes anasema atasalia Man Utd ikiwa klabu inamtaka
Nahodha wa Manchester United Bruno Fernandes alisema anataka kusalia katika klabu hiyo…
‘Laini zilizosajiliwa zafikia Milioni 72.5 Tanzania’ Asema Waziri Nape
Waziri wa Habari, Teknolojia ya Habari na Mawasiliano, Nape Nnauye amesema Sekta…
‘Marriage of spirits’ familia ya Kihindi yatafuta mchumba wa binti yao aliyefariki miaka 30 iliyopita
Ulimwenguni kote, harusi ni nyakati zinazohusisha furaha, lakini nchini India, ni maalum…
Chelsea wamepokea malipo ya uvumilivu ya msimu mgumu: Pochettino
Mauricio Pochettino alisema kuchelewa kwa Chelsea kufikia ukingoni mwa kufuzu kwa Uropa…
Mahakama ya Uswizi imemhukumu waziri wa zamani wa Gambia kifungo cha miaka 20 jela
MAHAKAMA ya juu ya makosa ya jinai nchini Uswisi, imemhukumu kifungo cha…
Tume ya Umoja wa Ulaya yaishtaki Meta juu ya usalama wa mtoto na afya ya akili
Tume ya Umoja wa Ulaya imeanza uchunguzi kuhusu mmiliki wa Facebook na…
Uhalifu wa mitandaoni umeendelea kupungua kutokana na mikakati inayofanywa na serikali
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema uhalifu…
Picha:Waziri Nape alivyowasili Bungeni kuwasilisha Bajeti Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara kwa Mwaka 2024/25.
Ni mei 16, 2024 ambapo Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya…
Serikali kufunga kamera kwenye maeneo maalum nchini ili kunasa wahalifu
SERIKALI imesema itafunga kamera kwenye maeneo maalum nchini ili kunasa wahalifu. Maeneo…
Wapalestina 600,000 wamekimbia kutoka Rafah ndani ya siku 10 :UNRWA:
Takriban Wapalestina 600,000 wamefurushwa kutoka mji wa kusini mwa Gaza, Rafah, tangu…