Bashungwa aagiza kukamatwa kwa mkandarasi anayejenga daraja la Mpiji chini – Dar
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa, amemuagiza Kamanda wa Polisi Wilaya ya Kinondoni…
MOI kutoa huduma za uchunguzi wa mifupa kwa watoto bure
Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) inatarajia kuendesha kambi…
Ajali ya gari Manispaa ya Bukoba Mkoani Kagera yajeruhi watu 9
Gari ya abiria aina ya Costa yenye namba za usajili T 117…
Vijana anzeni kuchangamkia asilimia 10 ya mikopo inayotolewa na halmashauri zote nchini
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na…
Rais Samia Suluhu Hassan yupo tayari kutatua kero za wananchi ikiwemo kusogeza huduma ya maji safi:Mzava
Kiongozi wa mbio za Mwenge Kitaifa( 2024 ), Godfrey Mzava ameeleza ,Rais…
Bashungwa akagua athari za mvua Dar es Salaam kwenye miundombinu ya barabara
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema kuwa Serikali tayari imeshampata Mkandarasi na…
Hamas inatayarisha majibu juu ya ofa ya usitishaji vita ya Gaza kwa Israel
Hamas ilikuwa ikichunguza pendekezo la Jumanne la Israel la kusitisha vita kwa…
Rais Ruto aitisha kikao cha baraza la mawaziri kuhusu mafuriko makubwa yalioikumba Kenya
Rais wa Kenya William Ruto aliitisha kikao maalum cha baraza la mawaziri…
EU inachunguza Facebook na Instagram juu ya wasiwasi wa habari potofu
EU mnamo Jumanne ilianzisha uchunguzi katika kurasa ya Facebook na Instagram za…
Netanyahu anasema wanajeshi wataivamia Gaza kukiwa au kusipokuwa na mapatano
Waziri Mkuu Binyamin Netanyahu alisema siku ya Jumanne kwamba jeshi la Israel…