Wizara ya afya huko Gaza inayoendeshwa na Hamas inasema idadi ya vifo vya vita yafikia 34,305
Wizara ya afya huko Gaza inayoendeshwa na Hamas ilisema Alhamisi kuwa takriban…
Wafungwa 118 wametoroka gerezani nchini Nigeria
Takriban wafungwa 118 wametoroka gerezani baada ya mvua kubwa zilizonyesha usiku wa…
Ukatili wa kijinsia igeuzwe kuwa ajenda na viongozi wa dini
Kuelekea katika kilele cha miaka 60 ya Muungano viongozi wa dini mkoani…
Viatu vya rapa Travis Scott “Jumpman Jack” kuanza kuuzwa mwishoni mwa mwezi huu
Viatu vya Travis Scott "Jumpman Jack" Jordan hatimaye vimetajwa tarehe ya kutolewa,…
Kanye West awaacha mashabiki zake midomo wazi…..
Kanye West anaweza kuwa amethibitisha tu kwamba anaingia kwenye tasnia ya ponografia,…
Uzalishaji umeme haukidhi mahitaji ya taifa:Biteko
Licha ya ongezeko la uzalishaji umeme kwa asilimia 14.2 katika kipindi cha…
Chaguo la Xavi Hernández kusalia Barcelona ni uamuzi sahihi :Ancelotti
Kocha mkuu wa Real Madrid Carlo Ancelotti alisema Alhamisi kwamba chaguo la…
Nusu ya watu duniani wanaweza kuwa katika hatari ya magonjwa yanayoenezwa na mbu:Wataalam
Wanasayansi wameonya kuwa zaidi ya nusu ya watu duniani wanaweza kuwa katika…
Enzo Fernandez kufanyiwa upasuaji wa ngiri unaomsumbua kwa muda mrefu
Enzo Fernandez ameripotiwa kuchukua uamuzi wa kufanyiwa upasuaji wa jeraha la ngiri…
Sakata la kufungiwa mtandao wa TikTok nchini Marekani bado n gumzo kimataifa
Bunge la Congress lilipitisha muswada huo kutokana na wasiwasi juu ya usalama…