Maandalizi kuelekea kuzindua mbio za Mwenge wa Uhuru kwa mwaka 2024 zakamilika
Serikali imesema kuwa shughuli za maandalizi kuelekea kuzindua mbio za Mwenge wa…
Watoto 9 wauawa na bomu la ardhini karibu na kijiji cha Afghanistan
Bomu la zamani la ardhini lililopatikana na watoto mashariki mwa Afghanistan lililipuka…
Somalia yapokea dozi milioni 1.4 za chanjo ya matone ya kipindupindu
Somalia imepokea dozi milioni 1.4 za chanjo ya matone ya kipindupindu zenye…
Zaidi ya kesi 13,400 za ugonjwa wa macho mekundu zaripotiwa Malawi
Ugonjwa wa wa macho mekundu (conjunctivitis) unaendelea kuongezeka nchini Malawi, na zaidi…
Rais wa Peru akataa kujiuzulu,licha ya skendo za uhujumu uchumi
Rais wa Peru Dina Boluarte ameshutumiwa kwa kujikusanyia dola 500,000 za vito…
Raia wa Japani wote watakuwa na jina moja la familia kufikia mwaka 2531
Raia wa Japani wote watakuwa na jina moja la familia katika muda…
Kampuni ya Adidas imewapiga marufuku mashabiki kuvaa jezi namba 44
Kampuni ya Adidas iliwapiga marufuku mashabiki wa kandanda kubadilisha jezi ya taifa…
Bunge la Israel lapitisha sheria ya kuifungia kituo cha habari cha Al Jazeera
Bunge la Israel seneti Jumatatu lilipitisha sheria kuruhusu kufungwa kwa televisheni ya…
Zaidi ya vyama 80 vya kisiasa vyaitaka serikali ya kijeshi ufanya uchaguzi wa rais haraka iwezekanavyo Mali
Zaidi ya vyama 80 vya kisiasa na makundi ya kiraia yalitoa taarifa…
Wafanyakazi 7 wa misaada wauawa katika mlipuko wa Israel huko Gaza: Jiko kuu la Dunia
Jiko kuu la Dunia (WCK) Jumanne lilithibitisha kuwa wafanyakazi wake saba wa…