Ajaribu kutoroka na kukwepa kulipa bili ya hospitali baada yakufanyiwa plastic surgery
Hivi karibuni mwanamke mmoja alijaribu kutoroka kutoka katika hospitali ya kibinafsi huko…
Kremlin yakanusha kuwa Putin alitoa wito wa kusitisha mapigano nchini Ukraine
Kremlin imekanusha ripoti kwamba Vladimir Putin alipendekeza kusitishwa kwa mapigano nchini Ukraine…
Watu 3 wafariki katika shambulizi la bomu kwenye kambi ya wakimbizi nchini Congo
Kundi la waasi lilishambulia kwa mabomu kambi ya watu waliokimbia makazi yao…
Kongamano la wataalamu wa vyuo vikuu Tanzania na Finland lafanyika UDSM
Maendeleo yanayoongezeka katika teknolojia ya kijografia na teknolojia ya habari yanahitaji aina…
Valentine’s pambe; Siwezi kumuacha mke wangu sababu amechepuka-Seun Kuti
Mwimbaji wa muziki wa afrobeat wa Nigeria, Seun Kuti, amefichua kuwa hatamuacha…
Ilikuwa ni ndoto yangu kufanya kazi na Usher -Pheelz
Mtayarishaji na mwimbaji wa rekodi kutoka Nigeria Philip Kayode Moses, almaarufu Pheelz,…
Putin atia saini sheria ya kukamata mali za wale wanaodharau jeshi la Urusi
Rais wa Urusi Vladimir Putin siku ya Jumatano alitia saini sheria iliyopitishwa…
Familia za mateka zaelekea katika mahakama ya kimataifa ya uhalifu dhidi ya Hamas
Takriban wawakilishi 100 wa mateka walisafiri kwa ndege hadi The Hague Jumatano…
Wapalestina 103 waliuawa katika mashambulizi ya Israel katika saa 24 zilizopita, inasema wizara ya afya
Idadi ya vifo vya Wapalestina kutokana na mashambulizi mabaya ya Israel dhidi…
Jack Grealish kufikishwa kortini kwa shitaka la mwendo kasi barabarani
Kiungo nyota wa Manchester City, Jack Grealish, anatarajiwa kufikishwa mahakamani wiki hii,…