Regina Baltazari

15226 Articles

Hamas yakubali rasimu ya makubaliano ya kusitisha mapigano Gaza na kuachiliwa kwa baadhi ya mateka wa Israel

Hamas imekubali rasimu ya makubaliano ya kusitisha mapigano na kuachiliwa kwa makumi…

Regina Baltazari

Idadi ya vifo katika mgodi haramu Afrika Kusini yaongezeka

Waokoaji wa Afrika Kusini wametoa maiti 60 na manusura 82 kutoka kwa…

Regina Baltazari

Ripoti ya WHO yataja uwepo wa uonjwa unaoshukiwa kuwa ni wa virusi vya Marburg Kagera

Shirika la Afya Duniani, WHO limetoa ripoti kuhusu mlipuko wa ugonjwa unaoshukiwa…

Regina Baltazari

Musk ashtakiwa kwa kununua hisa za X (Twitter) kwa bei ya ulaghai mwaka 2022

Tume ya Usalama na Masoko ya Marekani (SEC) imemshtaki bilionea Elon Musk…

Regina Baltazari

Rais wa Iran akanusha njama ya kumuua Trump

Rais wa Iran Masoud Pezeshkian amekanusha madai kwamba nchi yake ilipanga kumuua…

Regina Baltazari

Rais mteule wa Msumbiji anatarajiwa kuapishwa kama rais

Rais mteule wa Msumbiji Daniel Chapo ataapishwa kushika wadhifa huo siku ya…

Regina Baltazari

TikTok yawahakikishia wafanyikazi wake Marekani malipo licha ya sheria ya kutakiwa kupigwa marufuku

TikTok imewahakikishia malipo kwa wafanyakazi wake wa Marekani hata kama Mahakama ya…

Regina Baltazari

Mawakili wa Diddy wadai video zake zinathibitisha kuwa hana hatia

Mawakili wa Sean "Diddy" Combs walidai katika mahakama madai yaliyowasilishwa Jumanne kwamba…

Regina Baltazari

Rais wa Korea Kusini aliyeondolewa madarakani Yoon akamatwa

Polisi wa Korea Kusini walimkamata Rais aliyeondolewa madarakani Yoon Suk Yeol katika…

Regina Baltazari

Burkina Faso imepiga marufuku wigi maalum katika mahakama

Rais wa Burkina Faso Ibrahim Traoré amepiga marufuku matumizi ya wigi za…

Regina Baltazari