Uganda yanasa vilipuzi, vazi la kujitoa mhanga kutoka kwa washukiwa wa kundi la al Shabaab
Polisi katika mji mkuu wa Uganda Kampala walinasa kiasi kikubwa cha vilipuzi…
EU: Vikwazo dhidi ya makampuni saba ya China kwa madai ya kuunga mkono jeshi la Urusi
Umoja wa Ulaya umependekeza vikwazo dhidi ya kampuni za China zinazotuhumiwa kuuza…
Russia yazidisha mashambulizi ya makombora dhidi Ukraine huko Bakhumt
Russia imezidisha mashambuli ya makambora dhidi ya mji wa Ukraine wa Bakhmut…
Kikao cha SADC kinafanyika nchini Namibia kujadili usalama wa mashariki ya DRC
Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) inakutana Jumatatu hii, Mei…
Waliofariki dunia kwa mafuriko DRC sasa ni zaidi ya 400
Idadi ya watu walioaga dunia kufuatia janga la mafuriko na maporomoko ya…
Chanjo zaidi ya millioni moja za polio zaharibiwa Sudan
Zaidi ya chanjo milioni moja za polio zilizokusudiwa kutolewa kwa watoto zimeharibiwa…
Ujerumani: Afrika iwe mwanachama wa kudumu wa Baraza la Usalama la UN
Kansela Olaf Scholz wa Ujerumani amesema nchi yake inaunga mkono mpango wa bara…
Mamia ya Raia wa Togo wajitokeza kujisajili kama wapiga kura
Vituo vya usajili wa upigaji kura vilifunguliwa mapema leo na ndani ya…
Mchungaji Mackenzie alalamika kunyimwa chakula, kupigwa na polisi mahabusu
Mchungaji wa Malindi Paul Mackenzie, mkewe Rhoda Mumbua Maweu na washukiwa wengine…
Idadi ya waliofariki dunia kwa mafuriko zaidi ya 200 Congo
Gavana wa Kivu Kusini katika Jamhurii ya Kidemokrasia ya Congo, Théo Ngwabidje…