Qatar yatuma msaada wa matibabu kwa Libya iliyokumbwa na mafuriko
Qatar imetuma tani 23 za msaada na timu ya utafutaji na uokoaji…
Raia 2 wauawa na magaidi katika eneo la Timbuktu nchini Mali
Takriban watu wawili wameuawa na watano kujeruhiwa wakati mizinga ilipopiga mji wa…
Mwanariadha aliyepigwa marufuku wa olimpiki ya New Zealand akamatwa nchini Kenya kwa tuhuma za unyanyasaji wa kingono
Mwanariadha aliyepigwa marufuku wa Olimpiki wa New Zealand Zane Robertson amekamatwa nchini…
Raia wa Nigeria waendelea kukusanyika Lagos baada ya kifo cha nyota wa Afrobeats
Mamia ya Wanigeria waliandamana mjini Lagos Alhamisi kudai uchunguzi wa kifo cha…
Utawala wa jeshi wa Mali wasitisha sherehe zilizopangwa za siku ya uhuru
Kikosi tawala cha Mali kimefutilia mbali sherehe zilizopangwa kuadhimisha kumbukumbu ya uhuru…
Mwanamitindo Naomi Campbell aifichua siri yake ya matumizi ya madawa ya kulevya na uraibu
Naomi Campbell amekiri kwamba alikuwa "akijaribukujiua" kwa kutumia dawa za kulevya katika…
Ongezeko la wahamiaji latia wasiwasi Marekani lavunja rekodi
Idara ya uhamiaji ya Marekani Alhamisi iliripoti ongezeko kubwa la watu wanaovuka…
Kenya polisi wanawazuilia washukiwa 11 ili kukamilisha uchunguzi wa vifo vya watoto wawili
Mahakama ya Kilifi imewapa polisi hadi Jumatatu kuwashikilia washukiwa 11 kuhusiana na…
Wakimbizi 30 wafariki kwa njaa na utapiamlo kusini magharibi mwa Ethiopia
Wakimbizi 30 wamefariki kutokana na njaa na utapiamlo katika mkoa wa Gambela,…
Dawa za kulevya zapatikana chini ya mlango wa shule wa chekechea ya New York
Polisi wamepata kiasi kikubwa cha fentanyl, madawa ya kulevya na vifaa vingine…