Kim Jong Un kukutana na Putin nchini Urusi ili kujadili kuhusu silaha
Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un anapanga kuzuru Urusi kujadili na…
Wanajeshi wa Niger wafungua tena anga baada ya mapinduzi
Mamlaka nchini Niger imetangaza kufunguliwa tena kwa anga ya nchi hiyo kwa…
Uingereza inasema Urusi ilitumia programu hasidi kulenga ‘taarifa nyeti za kijeshi’ kutoka Ukraine
Wizara ya Ulinzi ya Uingereza imesema programu hasidi iitwayo "Infamous Chisel" huenda…
Ukraine yamhukumu mwanajeshi wa Urusi miaka 12 kwa kutesa raia
Mwanajeshi wa Urusi amepatikana na hatia ya kumtesa raia wa Ukraine na…
Ramaphosa azindua mkutano wa kwanza wa kampeni kwa uchaguzi wa 2024
Kiongozi wa chama tawala cha ANC alizindua mkutano wa kwanza wa kampeni…
Joe Biden asikitishwa na taarifa za mwenzake wa China Xi Jinping kukosa mkutano wa G20
Rais wa Marekani Joe Biden amesema "amesikitishwa" kwamba mwenzake wa China Xi…
Jenerali mkuu wa Sudan nchini Sudan Kusini kwa mazungumzo kuhusu vita
Jenerali mkuu wa kijeshi wa Sudan amewasili katika nchi jirani ya Sudan…
Polisi Uganda yagundua mabomu saa chache baada ya kumkamata aliyeitaka kulipua kanisa
Polisi nchini Uganda imegundua mabomu matatu katika eneo la Lungujja mjini Kampala…
Wanamgambo 150 wa kundi la kigaidi la al-Shabab wameuawa nchini Somalia.
Kulingana na ripoti ya shirika la habari la Sputnik siku ya Jumatatu,…
Ufaransa imeanza kutekeleza marufuku la vazi la abaya
Ufaransa leo imeanza kutekeleza marufuku la vazi la abaya klinalovaliwa na wanawake…