EPL: Wachezaji wanne wa Arsenal wateuliwa kuwa kikosi bora cha mwaka PFA
Wachezaji wanne wa Arsenal walijumuishwa kwenye kikosi bora cha mwaka cha PFA…
‘Nilikuwa tayari hata kupotea kwenye muziki’ – Tems
Mwimbaji wa Nigeria aliyeshinda tuzo ya Grammy, Temilade Openiyi, almaarufu Tems, amefichua…
Watu 67 wamekamatwa kwa kuhudhuria harusi ya mashoga nchini Nigeria
Polisi nchini Nigeria walisema Jumanne waliwashikilia takriban watu 67 waliokuwa wakisherehekea harusi…
Niger inaingia katika ‘mgogoro wa ulinzi’ kufuatia kutwaa mamlaka
Mgogoro wa kisiasa unaoendelea, bila suluhu ya wazi inayoonekana, unazua sintofahamu na…
Marekani kutuma dola milioni 250 za silaha kwa Ukraine
Utawala wa Biden ulitangaza Jumanne kuwa utatuma nyongeza ya dola milioni 250…
Marekani yavuruga mtandao unaoongozwa na wasafirishaji haramu
FBI inachunguza zaidi ya wahamiaji kumi kutoka Uzbekistan na nchi zingine zinazoruhusiwa…
Umoja wa Mataifa watoa wito wa dola bilioni 1 kusaidia watu wanaokimbia Sudan
Kamishna Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR)…
AU kundoa askari wengine 3,000 kutoka Somalia
Kikosi cha Mpito cha Umoja wa Afrika nchini Somalia (ATMIS) kimesema kitawaondoa…
Ituri: 16 wauawa katika uvamizi wa watu wanaodaiwa kuwa wanamgambo wa CODECO
Watu 16 walifariki na wengine 12 kujeruhiwa wakati wa uvamizi, siku ya…
2 wawauawa baada ya shambulio la kombora katika mji wa Kyiv
"Shambulio la kombora" lililenga mji mkuu wa Ukraine, Kyiv Jumatano asubuhi, ambapo…