Uingereza yamwita balozi wa Urusi kuhusu ujasusi wa mtandao wa Urusi
Serikali ya Uingereza imemwita balozi wa Urusi na kuwawekea vikwazo watu wawili…
Rais wa zamani wa Sierra Leone aitwa polisi kuhusu mashambulizi ya hivi majuzi ya mapinduzi
Rais wa zamani wa Sierra Leone ameitwa kuhojiwa na polisi kuhusu mashambulizi…
Marekani imetoa msaada wa dola 100,000 Hanang kukabiliana na maafa
Marekani imetoa msaada wa dola 100,000 (Tsh. milioni 250.5) katika juhudi za…
Rais wa Urusi Vladimir Putin athibitisha kuwania tena urais katika uchaguzi wa rais wa 2024
Rais wa Urusi Vladimir Putin alisema Ijumaa kuwa atawania tena urais katika…
Mtoto wa Biden ashtakiwa kwa makosa 9 ya ukwepaji ushuru
Hunter Biden alishtakiwa mashtaka tisa ya ushuru huko California siku ya Alhamisi…
TPF net arusha yasema elimu zaidi itamaliza vitendo vya ukatili.
Mtaandao wa Polisi wanawake Mkoa wa Arusha umesema elimu Zaidi itasaidia kuibadilisha…
Vivo energy Tanzania yaboresha elimu kwa wanafunzi wenye Mahitaji Maalum katika Shule ya Sekondari Jangwani
Ikidhihirisha dhamira yake ya maendeleo ya jamii, shirika la Vivo energy Tanzania,…
Baraza kuu TUGHE lajivunia mafanikio makubwa katika kusimamia maslahi ya wafanyakazi nchini
Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya Tanzania (TUGHE) kimesema kuwa kinajivunia…
Ten Hag amekiri kuwa alionywa juu ya kuinoa Manchester United
Erik ten Hag alisema alionywa kuchukua “kazi isiyowezekana ya umeneja wa Manchester…
Mpango wa unywaji maziwa mashuleni wazinduliwa
Mpango maalum wa Unywaji maziwa mashileni umezinduliwa katika shule ya msingi Ubungo…