Wasiwasi wa milipuko ya magonjwa kuikumba Somalia iliyoharibiwa na mafuriko
Mafuriko katika wilaya ya kusini-magharibi ya Somali ya Dolow huenda yameanza kupungua …
Kenya:Idadi ya vifo yaongezeka hadi 76 kutokana na mvua zinazo endelea kunyesha
Baraza la mawaziri la Kenya jana Jumatatu limeazimia kuimarisha hatua za mwitikio…
Korea Kaskazini inasema satelaiti ya kijasusi ilinasa picha za White House, Pentagon
Korea Kaskazini siku ya Jumanne ilidai kuwa satelaiti yake ya kijeshi ya…
Serikali ya Togo yatangaza mipango yake ya kuandaa uchaguzi 2024
Serikali ya Togo, inayoongozwa na Rais Faure Gnassingbé, ilitangaza Jumatatu mipango yake…
Rais wa zamani wa Mauritania Aziz akanusha mashtaka ya kujikusanyia mali na kutumia vibaya mamlaka
Rais wa zamani wa Mauritania Mohamed Ould Abdel Aziz Jumatatu alikanusha vikali…
Idadi ya wagonjwa na maambukizi ya UKIMWI yapungua Afrika Kusini-utafiti
Afrika Kusini, nchi iliyo na visa vingi zaidi vya VVU ulimwenguni, imerekodi…
Usitishwaji wa mapigano Israel-Gaza kwa siku 2 zaidi
Usitishwaji wa mapigano kati ya Israel na Hamas umeorefushwa kwa siku mbili…
Uganda kupokea mikopo kutoka benki ya china
Nchi ya Uganda inajiandaa kukopa dolla millioni 150, kutoka kwa benki ya…
Makonda asema, ‘SSH kuongoza kamati kuu Novemba 29’
Chama Cha Mapinduzi (CCM ) kimetoa taarifa ya kufanyika kwa vikao vya…
Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya kuhakikisha kinazalisha Wanafunzi Mahiri
Katika utekelazaji wa mradi wa China Fund In Trust (CFIT) kupita Shirika…