By using this site, you agree to the Privacy Policy and Terms of Use.
Accept
Millard AyoMillard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2024 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: PICHA & VIDEO: India wameifikia hii rekodi kwenye masuala ya hali ya hewa
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Millard AyoMillard Ayo
Font ResizerAa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2024 MILLARD AYO. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Miji/Nchi > PICHA & VIDEO: India wameifikia hii rekodi kwenye masuala ya hali ya hewa
Miji/Nchi

PICHA & VIDEO: India wameifikia hii rekodi kwenye masuala ya hali ya hewa

Published May 21, 2016
Share
2 Min Read
SHARE

Nchi ya India ni moja ya nchi katika bara la Asia ambapo wiki hii wamezichukua headline kwa kuvunja rekodi ya kuwa na joto kali zaidi ambalo limefikia hadi sentigredi 51  huko mjini Phalodi magharibi mwa Rajasthan. Mji huu ambao ni jangwa liitwalo Thar limechangia pia kuwa na pepo zitokazo magharibi zikiwa na hali ya umoto.

Joto hili limepelekea kufa kwa mifugo na mazao kuharibika na kuacha watu milioni 330 wakiwa na shida ya maji kutokana na ukame huo, pia janga hili limewapata mji wa Guru ambapo joto lao limefika sentigredi 50 kwa tofauti ya asilimia moja tu, New Delhi nao wamefikisha takribani sentigredi 47.

Rekodi zinasema hali hii ilishawapata India kwenye mji wa Alwar hukohuko Rajasthan baada ya kufikisha sentigredi 50.6  mnamo mwaka 1959.

.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
Hifadhi za maji zimekuwa zikilindwa 
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.

ULIKOSA HII YA AGNESS MARWA KUSIMAMA TENA BUNGENI NA KUZUNGUMZA? UNAWEZA KUANGALIA VIDEO HII HAPA CHINI

Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO‘ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu OK ili uanze kupokea matukio yote kwa sms, pia ungana na Millard Ayo kwenye Twitter, FB, Instagram na YouTUBE wa kubonyeza hapa >>> INSTAGRAM TWITTER FB YOUTUBE 

TAGGED:India
Share This Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article PICHA 18: Unaikumbuka Titanic? huu ndio muonekano wa ndani wa meli mpya kubwa duniani
Next Article Man United wamefanikiwa kutwaa taji la FA na kuifikia rekodi hii ya Arsenal
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo October 29, 2024
Mhe. Albert chalamila kuongoza mkutano mkuu wa Tano wa Bodi ya usajili wabunifu majengo na wakadiriaji ujenzi.
Asilimia 60 ya wagonjwa wana shinikizo la Damu, kambi ya matibabu yazinduliwa Mwanza
Waziri Chana aelekeza askari uhifadhi kuweka kambi Ikungi kukabiliana na tembo.
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US
© 2024 MILLARD AYO. All Rights Reserved. Designed by Ayo.

Lost your password?