Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda Nov 14, 2017 alikutana na waandishi wa habari na kueleza juu ya ujio wa Madaktari 385 kutoka china watakaokuja na meli yao kuwatibu bure Watanzania.
Matibabu yatayotolewa bure Dar es salaam, Paul Makonda aeleza
Leave a comment
Leave a comment