March 7, 2018 katika Jiji la Dar es salaam ilinyesha mvua yenye upepo mkali ambapo kuna baadhi ya maeneo mvua hiyo iliathiri makazi ya watu, miundombinu na sehemu za biashara, millardayo.com nakusogezea picha jinsi baadhi ya maeneo ya DSM navyoonekana baada ya mvua.
ATHARI ZA UPEPO NA MVUA: Godauni, Nyumba na kituo cha Polisi vyaangukiwa na mnara
Kamanda wa Polisi Iringa amezungumza Abdul Nondo kupatikana
https://youtu.be/ftYl3qM171c