March 16 , 2018 Mwenyekiti wa jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) Theophil Makunga imetangazwa na jukwaa hilo kuwa amejiuzulu nafasi yake ya uenyekiti.
Katika taarifa iliyotolewa na Katibu wa jukwaa hilo Meena imeelezwa kuwa Makunga amechukua uamuzi huo kwa kutumia uhuru wake binafsi na mkutano mkuu wa jukwaa hilo umeridhia kujiuzulu kwake.
Maneno ya Mstaafu Kikwete kwa IGP Sirro ‘Watanzania ninaowapenda sana’
Baba alieshtakiwa Polisi na Mwanae azungumzia kifo cha Mama Anthony, watoto 20
https://youtu.be/wz4D1wDtdwg