Good Morning Mtu wangu wa nguvu !! kutoka DSM Tanzania leo August 22, 2018 nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania.
Viongozi Maarufu waliomzika Dada yake Rais Magufuli “Kikwete, Mwinyi, Mkapa, Odinga” na wengine
MACHOZI: Rais Magufuli akimuongoza Mama yake kuaga Mwili wa Monica
https://youtu.be/JBRSIxH2AfI