Mwenyekiti wa UVCCM Taifa Kheri James ameshangaza watu kwenye mkutano Wilayani Hai baada ya kusema anatembea na sanda kwenye begi na yuko tayari kufa wakati wowote kwa madai ya kumsitiri atakapofariki na sio cheo alichonacho.
“Natembea na sanda kwenye begi” Mwenyekiti UVCCM (+video)
Leave a comment
Leave a comment