Kama upo au utakuepo Dar Jumamosi hii ya March 15 yani kesho, ukiwa na nafasi unaweza ukapita hapa ukaenjoy pamoja na mimi hata kwa nusu saa tu mtu wangu, karibu tufahamiane kifamilia zaidi.
Nitakuepo hapa kesho, nakualika na wewe mtu wangu
Leave a comment
Leave a comment