Ikiwa ni Mei 8, 2019 katika uchambuzi wa Kisheria inaelezwa kuwa ni kosa la jinai kwa Mtu yeyote kutengeza, kuchapisha ama kusambaza picha zenye maudhui ya Kingono kupitia mifumo yeyote ya Kielektroniki ambapo adhabu yake ni faini ya Mil.30 ama miaka 10 jela endapo ukitiwa hatiani.
TANZANIA YATWISHWA JUKUMU HILI LA AFRIKA “MAGUFULI ATAKUWA MWENYEKITI”
https://youtu.be/gDibD5M_mYY