Mkuu wa Wilaya ya Pangani Zainabu Issa amesema wamefurahishwa na hatua ambayo Serikali imeifikia katika ujenzi wa barabara ya Tanga – Pangani licha ya changamoto walizopitia kwa muda wote, ujenzi wa barabara hiyo kwa kiwango cha lami utagharimu Bilioni 66 na Mil. 800 na utakamilika baada ya miezi 24.
DC Pangani “kama sio kuvunja nazi njia panda usingefika hapa Waziri” (+video)
Leave a comment
Leave a comment