Rais Magufuli amempigia simu Rais wa Chama cha Muziki Tanzania Ado Novemba na kumwambia anafuatilia shughuli hiyo ya kongamano la Sanaa la Mwalimu Nyerere Jijini DSM, “Ninawapenda sana, ninaisikia risala yako, hongereni sana, Waziri Mkuu atatoa maagizo yangu”.
Rais Magufuli awa-surprise Mastaa wa Bongo, apiga simu LIVE kuwaunga mkono (+video)
Leave a comment
Leave a comment