Jeshi la polisi mkoani Arusha kupitia kwa kamanda Salumu Hamduni, linamshikilia mwenyekiti wa mtaa wa malula wilayani Arumeru kwa tuhuma zakumpiga kwa kumshambulia kijana edward Msemakweli sehemu mbalimbali za mwili wake ikiwemo sehemu za siri na kwenye tumbo nakumsababishia majeraha.
Kijana adai kupigwa nakuumizwa sehemu za siri na kiongozi wa mtaa,polisi wamkamata
Leave a comment
Leave a comment