Live:Rais Samia akishiriki katika mkutano wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT)
November 20, 2021
Share
0 Min Read
SHARE
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki katika Mkutano wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Zanzibar, unaofanyika katika Uwanja wa Maisara leo tarehe 20 Novemba, 2021