Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima, amesema Serikali inaendelea kuwasaka wanajamii wanaofanya matukio ya ukatili na unyanyasaji kwa watoto na kupelekea kukimbilia mtaani na kuacha makazi yao.
TAGGED:
Waziri Gwajima, WIZARA YA AFYA
TZA