Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimpokea Rais wa Jamhuri ya Zambia Mhe. Hakainde Hichilema katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) – Terminal 1 kwa ajili ya kuanza Ziara ya Kiserikali ya siku moja nchini Tanzania.
Live: Rais Samia anampokea Rais wa Zambia Hakainde kwa ziara ya siku mbili nchini
Leave a comment
Leave a comment