Askari wamekaguliwa kama wapo tayari kwaajili uchaguzi mkuu (+picha)
Share
1 Min Read
SHARE
Kamishna wa Operesheni na Mafunzo ya Jeshi la Polisi Nchini CP Liberatus Sabas, amewasili mkoani Iringa kwaajili ya ukaguzi wa utayari wa Askari mkoani humo katika hichi kipindi cha kuelekea uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani.Mwenyekiti wa Karate Mkoa wa Iringa Hamidu akiwa katika mazoezi ya utayari na WP Yasinta wakimuonyesha Kamishna wa Operesheni na Mafunzo ya Jeshi la Polisi Nchini CP Liberatus Sabas, ambaye hayupo pichani wakati alipowasili katika viwanja vya Kikosi cha kutuliza Ghasia mkoani humo.Kamishna wa Operesheni na Mafunzo ya Jeshi la Polisi Nchini CP Liberatus Sabas, aliesimama akiongea, Maafisa na Wakaguzi pamoja na Askari wa Mkoa wa Iringa baada ya kuwasili katika ukumbi wa Polisi Mess wa mkoani humo.
BREAKING: RAIS MAGUFULI AFANYA MABADILIKO, ATEUA RC NA DC, OLE SENDEKA NA KATAMBI WAONDOLEWA