Waziri Silaa ameendelea na kliniki ya ardhi ndani ya mkoa wa Mwanza
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Jerry Silaa ameendelea…
Kamati ya kudumu ya bunge yaridhishwa na maboresho yanayofanyika kiwanda cha kutengeneza vipuli KMTC- Moshi
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo, Mifugo na Uvuvi…
Watuhumiwa 23 wapandishwa kizimbani kwa tuhuma za dawa za kulevya
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya nchini (DCEA) kwa…
Kinondoni:Wanawake mliokopesha rejesheni mikopo ili wengine waweze kukopesheka
Manispaa ya Kinondoni, Dar es Salaam imewasihi Wanawake waliokopesha na manispaa hiyo…
Waziri Masauni atekeleza mkakati uliozinduliwa na makamu wa rais mpango mitungi 700 ya gesi
Katika muendelezo wa utekelezaji wa mkakati wa matumizi ya nishati safi ya…
Idadi ya vifo katika Gaza yaongezeka hadi 31,341
Wizara ya Afya ya Palestina iliripoti Alhamisi kwamba Vikosi vya Uvamizi vya…
Mlipuko wa Israel waua watu sita wa Gaza waliokuwa wakisubiri lori za misaada
Moto wa Israel uliua Wapalestina sita na kujeruhi makumi ya wengine huku…
Waliofariki kutokana na kula nyama ya kasa Pemba yafikia 9
Naibu Waziri wa Afya, Hassan Khamis Hafidh amesema idadi ya waliopata madhara…
China inasema muswada wa kufungiwa kwa TikTok Marekani sio sahihi
China siku ya Alhamisi ilikosoa uidhinishaji wa mswada wa Marekani ambao utapiga…
Polisi nchini Nigeria wamewakamata Waislamu 11 walionaswa wakila wakati wa mfungo wa Ramadhani
Polisi wa Kiislamu, wanaojulikana kwa jina la Hisbah, katika jimbo la kaskazini…