Tume yatangaza uchaguzi mdogo kata 23 Tanzania
Tume ya Taifa ya Uchaguzi imetangaza uchaguzi mdogo wa madiwani kwenye kata…
Kituo cha afya cha Sunya kilichopo katika Wilaya ya Kiteto kimekabidhiwa magari 2 ya wagonjwa
Kituo cha afya cha Sunya kilichopo katika Wilaya ya Kiteto kimekabidhiwa magari…
Tatizo la mgao wa umeme Tanzania kuisha Machi-Naibu Waziri wa Nishati Judith Kapinga
Naibu Waziri wa Nishati Judith Kapinga, amesema kwamba changamoto ya mgao wa…
Zimbabwe: Mpinzani ahukumiwa kifungo cha miezi 9 jela kuchapisha taarifa za uongo
Mwanasiasa mashuhuri wa upinzani nchini Zimbabwe, Job Sikhala, ametozwa faini na kuhukumiwa…
Ukraine yahalalisha matumizi ya bangi kwa matibabu
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky ameidhinisha rasmi mswada unaohalalisha matumizi ya matibabu…
Apandishwa kizimbani kisa mimba ya mkewe kuwa na utata wa baba
Katika tukio la kushangaza, mwanamume – anayeishi katika mji wa Barnsley wa…
Lupita Nyong’o, rais wa kwanza Mwafrika kwenye jumba la majaji katika tamasha la Berlinale 2024
Mshindi wa Tuzo za Oscar, Mkenya-Meksiko Lupita Nyong’o anaweka historia kwa kuongoza…
Zelenskyy aelekea Berlin na Paris kwa matumaini ya kupata msaada wa kijeshi
Volodymyr Zelenskyy anatarajiwa mjini Berlin na Paris leo katika jaribio la kupata…
EU yatoa sheria ya ulinzi wa maudhui ya kidijitali inayoanza kutumika Jumamosi
Kampuni za kidijitali hazitakuwa na pa kujificha baada ya sheria muhimu ya…
Wanahabari waliouliwa 2023 ni asilimia 75 katika vita vya Israel dhidi ya Gaza
Kamati ya Kulinda Wanahabari CPJ imetangaza kuwa, waandishi wa habari 72 kati…