Zaidi ya wanafunzi 4,000 wa Kipalestina wameuawa, shule 384 zaharibiwa
Wizara ya Elimu ya Palestina inasema kuwa wanafunzi 4,296 wameuawa na 8,059…
Mwanaume mwenye miaka 54 aoa mtoto wa miaka 4, kwa nia ya kuokoa maisha yake Nigeria
Ndoa kati ya “bibi harusi” mwenye umri wa miaka minne na mzee…
Mtu 1 kati ya 100 huko Gaza ameuawa tangu Oktoba 7
Wizara ya Afya ya Palestina huko Ramallah ilitangaza katika sasisho lake la…
Ecuador: Hali ya hatari yatangazwa baada ya mkuu wa genge la dawa za kulevya kutoroka gerezani
Hali ya taharuki imetanda nchini Ecuador baada ya mmoja wa wakuu wa…
Mwanaume aliyemshambulia Jaji Las Vegas afungwa miaka 4 jela
Shambulio hilo, ambalo lilinaswa kwenye video, lilikatisha shauri la hukumu kwa Deobra…
Korea Kusini yapiga kura kupiga marufuku ulaji wa nyama ya mbwa
Korea Kusini imepiga kura kupiga marufuku nyama ya mbwa na kumaliza utata…
Afisa wa jeshi la majini la Marekani ahukumiwa kifungo cha miaka miwili jela kwa kosa la kuipeleleza China
Afisa wa jeshi la wanamaji la Marekani ambaye alikiri hatia ya kutoa…
Habari kubwa Magazetini Kenya leo January 9, 2024
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania January 9, 2024,nakukaribisha kutazama…
Nilikuwa mtu mwenye msongo wa mawazo kipindi chote -Thierry Henry
Mshambulizi wa zamani wa Arsenal Thierry Henry anasema ” alikuwa na huzuni”…
OCHA: Usambazaji wa misaada ya kibinadamu nchini Sudan una changamoto
Ofisi ya Uratibu wa Masuala ya kibinadamu ya Umoja wa Mataifa (OCHA)…