Israel imepokea orodha mpya ya wanawake na watoto mateka watakaoachiliwa na Hamas
Serikali ya Israel ilisema imepokea orodha mpya ya wanawake na watoto mateka…
Uganda: Kesi dhidi ya sheria inayopinga ushoga kusikilizwa mwezi Desemba
Mahakama ya kikatiba nchini Uganda, imetenga tarehe 11 ya mwezi ujao kuanza…
ECOWAS kutoa uamuzi kuhusu malalamiko ya kuondolewa madarakani kwa rais wa zamani wa Niger Mohamed Bazoum
Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika Magharibi ECOWAS inatazamiwa kutoa uamuzi…
Cameroon inatarajia kutoa chanjo ya malaria mnamo 2024
Umoja wa Mataifa ulitangaza Jumatano ongezeko linalokuja la chanjo ya malaria kote…
Hamas yakubali kusitisha mapambano kwa muda wa nyongeza
Dakika chache kabla ya usitishaji mapigano kukamilika, Hamas imekubali kuongeza muda –…
Royal Family school yapongezwa kwa kulea wanafunzi kiroho.
Serikali Mkoani Geita imesema itaendelea kushirikiana na Shule Binafsi katika kusaidia kuinua…
Mbunge Korogwe akabidhi mabati,tofali na saruji kuanzisha shule mpya ya sekondari.
Katika kukabiliana na adha ya wanafunzi wa kutembelea umbali wa zaidi ya…
Waziri Mkuu Majaliwa kutoa taarifa za matokeo ya Ukimwi Disemba 1, 2023
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imekua ikifanya utafiti wa viashiria…
Dkt Tulia aiagiza kamati ya IPU kushughulikia Mgogoro wa Israel na Palestina
Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) Mhe. Dkt. Tulia Ackson, ameielekeza…
TRA Morogoro wawakumbuka wenye uhitaji
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa Morogoro imewataka wafanyabishara wenye malimbikizo ya…