Iran yawakamata watu 28 wanaohusishwa na IS kwa kupanga mashambulizi
Serekali ya Iran imewakamata watu 28 wanao husishwa na kundi la Islamic…
Mkuu wa Pentagon ya Marekani akutana na rais wa Somalia kuhusu usalama wa nchi hizo
Rais wa Somalia, Hassan Mohamud, na Waziri wa Ulinzi wa Marekani, Lloyd…
Burundi: Rais Ndayishimiye akanusha taarifa za uongo kuhusu mapinduzi dhidi yake
Rais Evariste Ndayishimiye wa Burundi, amekanusha uvumi kuhusu mapinduzi nchini mwake alipokuwa…
Poland inajaribu kupunguza mvutano na Ukraine
Rais wa Poland alionekana kulainisha matamshi ya hivi majuzi ya Warsaw kuhusu…
Marekani na Ukraine kuzalisha silaha na mifumo ya ulinzi pamoja
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy alisema katika hotuba yake ya usiku Jumapili…
Serikali ya China yasafirishwa msaada wa dharura kwenda Libya
Ndege ya mizigo ya China iliyobeba msaada wa kibinadamu wa dharura wa…
Somalia na ATMIS walaani shambulizi la mwisho wa wiki nchini humo
Serikali ya Somalia na Kikosi cha Mpito cha Umoja wa Afrika nchini…
Hatimaye Ufaransa yakubali kuondoa wanajeshi na balozi wake nchini Niger
Rais wa Ufaransa ametangaza kuwa wanajeshi wa nchi hiyo watarejeshwa nyumbani kutoka…
Mali yaapa kuisaidia Niger iwapo itavamiwa kijeshi
Mali imesisitiza kuwa haitasalia kimya iwapo wanajeshi wa kigeni, kuna Jumuiya ya…
Niger: Tutasherehekea hatua mpya kuelekea uhuru-Utawala wa kijeshi
Utawala uliowekwa baada ya mapinduzi ya kijeshi mwishoni mwa mwezi wa Julai…