Gabon, jeshi lakubali kuandaa mipango ya kurejea kwa demokrasia
Mpatanishi wa Afrika ya Kati kwa Gabon na mtawala mpya wa kijeshi…
Uingereza inakumbana na wimbi refu zaidi la joto la Septemba
Uingereza inakabiliwa na kipindi cha kuvunja rekodi cha hali ya hewa ya…
Uganda inasema operesheni zake nchini Kongo zimewaua wapiganaji 567 wanaoshirikiana na IS
Rais wa Uganda Yoweri Museveni ameripoti kuwa tangu mwezi Disemba 2021, zaidi…
Wafugaji nchini Uganda wamewalisha dawa ya VVU wanyama kuwanenepesha-afisa
Mamlaka ya Kitaifa ya Dawa nchini Uganda imekiri kuwa ilijua dawa ya…
Wapiganaji 107 wa al-Shabab wajisalimisha kwa serikali ya Somalia
Kituo cha kukabiliana na ugaidi cha Somalia kimesema wapiganaji 107 wa kundi…
Rasimu ya sheria inayopiga marufuku matamshi na tabia zinazodhuru hisia nchini China yazua gumzo
Mapendekezo ya mabadiliko ya sheria ya usalama ya umma ya Uchina ili…
Ofisa wa UM azihimiza nchi wanachama ziunge mkono zaidi ulinzi wa amani
Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anayeshughulikia Operesheni za Amani Jean-Pierre…
Mvua kubwa zaidi iliyonyesha Hong Kong katika takriban miaka 139 yasababisha mafuriko makubwa
Hong Kong na miji ya kusini mwa China inakabiliwa na mafuriko huku…
Korea Kaskazini inasema manowari yake ya hivi punde inaweza kurusha silaha za nyuklia
Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un amefanya hafla ya kufichua manowari…
Mashirika ya kibinadamu kupunguza misaada huku kukiwa na mzozo wa ufadhili nchini Sudan Kusini
Mashirika ya misaada ya kibinadamu nchini Sudan Kusini yamelazimika kupunguza misaada huku…