Foleni za Dar es salaam na matatizo yake imekua sio stori mpya tena ila ujenzi wa mradi wa mabasi yaendayo haraka pamoja na hiki kivuko ndio habari ya mjini ambapo leo kuna stori imetoka ikiwa ni good news kuhusu hiki kivuko kipya.
Kwenye Blog ya issamichuzi.blogspot.com kuna taarifa kuhusu kutua kwa kivuko cha Mv. Dar es Salaam ambacho kitakuwa kinafanya safari kati ya Dar es Salaam na Bagamoyo kama inavyoonekana kwenye hizi picha.


