September 1 2016 tukio la kupatwa kwa jua limetokea katika Kijiji cha Rujewa, Wilaya ya Mbarali Mkoani Mbeya ambapo lilianza majira ya saa 4: 20 hadi saa 7:25.
Unaambiwa wanataaluma wa anga kutoka duniani kote pamoja na wanasayansi, wanafunzi pamoja na jamii ya Tanzania walikuwa Rujewa, kusini mwa Tanzania, kushuhudia duara la Jua linavyobadilika kuwa mithili ya pete.










ULIKOSA HII YA JOHARI KUHUSU KUGOMBEA UBUNGE 2020? BONYEZA PLAY HAPA CHINI
4