Mkurugenzi wa Tigo, Simon Karikari pamoja na viongozi mbalimbali wa idara wakijibu na kutatua maswali ya wateja wa Tigo katika kituo cha huduma kwa wateja namba 100 , zoezi limefanyika leo katika wiki ya huduma kwa wateja.
![]() |
Mkurugenzi wa Tigo, Bw. Simon Karikari akipokea keki kutoka kwa Mwangaza Matotola, Mkuu wa kitengo cha Huduma kwa wateja kama ishara ya maadhimisho ya wiki ya huduma kwa wateja. |
![]() |
Watoa huduma wa Tigo wakifurahia maadhimisho ya wiki ya huduma kwa wateja. Wamekuwa mstari wa mbele kuhakikisha wateja wetu wanapata huduma bora wanazostahiri sehemu yeyote. |
![]() |
Watoa huduma wa Tigo wakifurahia maadhimisho ya wiki ya huduma kwa wateja. Wamekuwa mstari wa mbele kuhakikisha wateja wetu wanapata huduma bora wanazostahiri sehemu yeyote. |
![]() |
Watoa huduma wa Tigo wakifurahia maadhimisho ya wiki ya huduma kwa wateja. Tumekuwa mstari wa mbele kuhakikisha wateja wetu wanapata huduma bora wanazostahiri sehemu yeyote. |
![]() |
Watoa huduma wa Tigo wakifurahia maadhimisho ya wiki ya huduma kwa wateja. Wamekuwa mstari wa mbele kuhakikisha wateja wetu wanapata huduma bora wanazostahiri sehemu yeyote. |